Mt. 13:44 SUV

44 Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.

Kusoma sura kamili Mt. 13

Mtazamo Mt. 13:44 katika mazingira