Mt. 21:12 SUV

12 Yesu akaingia ndani ya hekalu, akawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni, akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao waliokuwa wakiuza njiwa;

Kusoma sura kamili Mt. 21

Mtazamo Mt. 21:12 katika mazingira