Mt. 27:19 SUV

19 Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.

Kusoma sura kamili Mt. 27

Mtazamo Mt. 27:19 katika mazingira