Mt. 8:28 SUV

28 Naye alipofika ng’ambo, katika nchi ya Wagerasi, watu wawili wenye pepo walikutana naye, wanatoka makaburini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile.

Kusoma sura kamili Mt. 8

Mtazamo Mt. 8:28 katika mazingira