1 Fal. 10:9 SUV

9 Na ahimidiwe BWANA, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli; kwa kuwa BWANA amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 10

Mtazamo 1 Fal. 10:9 katika mazingira