1 Fal. 18:24 SUV

24 Nanyi ombeni kwa jina la mungu wenu, nami nitaomba kwa jina la BWANA; na Mungu yule ajibuye kwa moto, na awe ndiye Mungu. Watu wote wakajibu wakasema, Maneno haya ni mazuri.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 18

Mtazamo 1 Fal. 18:24 katika mazingira