1 Fal. 20:31 SUV

31 Watumwa wake wakamwambia, Angalia sasa, tumesikia ya kuwa wafalme wa nyumba ya Israeli ni wafalme wenye rehema; tafadhali, tuvae magunia viunoni, na kamba vichwani, tumtokee mfalme wa Israeli; labda atakuokoa roho yako.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 20

Mtazamo 1 Fal. 20:31 katika mazingira