1 Fal. 20:32 SUV

32 Basi wakajifungia magunia viunoni, na kamba vichwani, wakamjia mfalme wa Israeli, wakasema, Mtumwa wako Ben-hadadi asema Roho yangu, nakusihi, iishi. Akasema, Je! Yu hai bado? Ni ndugu yangu yeye.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 20

Mtazamo 1 Fal. 20:32 katika mazingira