1 Fal. 20:34 SUV

34 Na Ben-hadadi akamwambia, Miji ile baba yangu aliyomnyang’anya baba yako nitairudisha; nawe utajifanyia njia huko Dameski, kama baba yangu aliyoifanya huko Samaria. Ahabu akasema, Nami nitakuacha kwa mapatano haya. Akafanya mapatano naye, akamwacha.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 20

Mtazamo 1 Fal. 20:34 katika mazingira