1 Nya. 29:21 SUV

21 Wakamtolea BWANA dhabihu, wakamchinjia BWANA sadaka za kuteketezwa, siku ya pili yake, yaani, ng’ombe elfu, na kondoo waume elfu, na wana-kondoo elfu, pamoja na sadaka zao za vinywaji, na dhabihu nyingi kwa ajili ya Israeli wote;

Kusoma sura kamili 1 Nya. 29

Mtazamo 1 Nya. 29:21 katika mazingira