1 Sam. 25:13 SUV

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 25

Mtazamo 1 Sam. 25:13 katika mazingira