2 Nao Wafilisti wakajipanga juu ya Israeli; na walipopigana, Israeli wakapigwa mbele ya Wafilisti; wakauawa watu wa jeshi lao lililokuwa uwandani wapata watu elfu nne.
Kusoma sura kamili 1 Sam. 4
Mtazamo 1 Sam. 4:2 katika mazingira