9 Ndipo Samweli akatwaa mwana-kondoo mchanga, akamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa nzima; Samweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli; BWANA akamwitikia.
Kusoma sura kamili 1 Sam. 7
Mtazamo 1 Sam. 7:9 katika mazingira