2 Nya. 19:2 SUV

2 Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao BWANA? Kwa ajili ya hayo ghadhabu i juu yako itokayo kwa BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 19

Mtazamo 2 Nya. 19:2 katika mazingira