31 Yehoshafati akatawala juu ya Yuda; alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala miaka ishirini na mitano huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Azuba binti Shilhi.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 20
Mtazamo 2 Nya. 20:31 katika mazingira