34 Na mambo yote ya Yehoshafati yaliyosalia, ya kwanza na ya mwisho, angalia, yameandikwa katika tarehe ya Yehu mwana wa Hanani, iliyotiwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 20
Mtazamo 2 Nya. 20:34 katika mazingira