10 Ndipo Amazia akawafarakisha jeshi lililomjia kutoka Efraimu, ili warudi kwao; kwa hiyo ikawaka sana hasira yao juu ya Yuda, nao wakarudi kwao wenye hasira kali.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 25
Mtazamo 2 Nya. 25:10 katika mazingira