17 Ndipo mfalme Amazia akafanya shauri, akatuma wajumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli, kusema, Njoo, tutazamane uso kwa uso.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 25
Mtazamo 2 Nya. 25:17 katika mazingira