7 Lakini mtu wa Mungu akamjia, akasema, Ee mfalme, usiwaache jeshi la Israeli waende nawe; kwa kuwa BWANA hayupo pamoja na Israeli, yaani, wana wote wa Efraimu.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 25
Mtazamo 2 Nya. 25:7 katika mazingira