17 Akazisimamisha nguzo hizo mbele ya hekalu, moja upande wa kuume, na ya pili upande wa kushoto; akaliita jina la ile ya kuume Yakini, na jina la ile ya kushoto Boazi.
Kusoma sura kamili 2 Nya. 3
Mtazamo 2 Nya. 3:17 katika mazingira