2 Nya. 30:18 SUV

18 Kwani wingi wa watu, naam, wengi wa Efraimu, na wa Manase, na wa Isakari, na wa Zabuloni, hawakujisafisha, lakini wakala pasaka, ila si kama ilivyoandikwa. Naye Hezekia alikuwa amewaombea, akisema, BWANA mwema na amsamehe kila mtu,

Kusoma sura kamili 2 Nya. 30

Mtazamo 2 Nya. 30:18 katika mazingira