2 Nya. 35:12 SUV

12 Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, wawape wana wa watu, kama walivyogawanyika kufuata nyumba za mababa, ili wamtolee BWANA, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa. Nao ng’ombe wakawafanya vivyo hivyo.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 35

Mtazamo 2 Nya. 35:12 katika mazingira