2 Nya. 6:33 SUV

33 basi usikie huko mbinguni, toka makaoni mwako, ukatende yote atakayokuomba huyo mgeni; ili watu wote wa dunia wapate kulijua jina lako, na kukucha wewe, kama watu wako Israeli, tena wajue ya kuwa nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa jina lako.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 6

Mtazamo 2 Nya. 6:33 katika mazingira