2 Nya. 8:18 SUV

18 Naye Hiramu akamletea merikebu kwa mikono ya watumishi wake, na watumishi waliokuwa wana-maji; nao wakafika Ofiri pamoja na watumishi wa Sulemani, wakachukua kutoka huko talanta mia nne na hamsini za dhahabu, wakamletea mfalme Sulemani.

Kusoma sura kamili 2 Nya. 8

Mtazamo 2 Nya. 8:18 katika mazingira