2 Sam. 10:18 SUV

18 Wakakimbia Washami mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua katika Washami, watu wa magari mia saba, na wapanda farasi arobaini elfu, naye akampiga huyo Shobaki, jemadari wa jeshi lao, hata akafa huko.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 10

Mtazamo 2 Sam. 10:18 katika mazingira