2 Sam. 17:14 SUV

14 Naye Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, Shauri la Hushai, Mwarki, ni jema kuliko shauri la Ahithofeli. Kwa maana BWANA alikuwa amekusudia kulivunja shauri jema la Ahithofeli, ili BWANA alete mabaya juu ya Absalomu.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 17

Mtazamo 2 Sam. 17:14 katika mazingira