2 Sam. 18:24 SUV

24 Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya malango mawili; mlinzi akapanda juu hata dari ya lile lango hata ukutani, akainua macho yake, akaangalia, na tazama, mtu anakuja mbio peke yake.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:24 katika mazingira