2 Sam. 18:32 SUV

32 Naye mfalme akamwambia yule Mkushi, Yule kijana, Absalomu, je! Yu salama? Yule Mkushi akajibu, Adui za bwana wangu mfalme, na wote wainukao ili kukudhuru, na wawe kama alivyo yule kijana.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:32 katika mazingira