22 Abneri akamwambia Asaheli mara ya pili, Geuka, acha kunifuatia mimi; kwa nini nikupige hata chini? Hapo ningewezaje kuinua uso wangu mbele ya Yoabu, ndugu yako?
Kusoma sura kamili 2 Sam. 2
Mtazamo 2 Sam. 2:22 katika mazingira