2 Sam. 2:23 SUV

23 Lakini akakataa kugeuka; kwa hiyo Abneri akampiga tumboni kwa ncha ya nyuma ya mkuki wake, ule mkuki ukamtoka kwa nyuma; naye akaanguka hapo, akafa papo hapo; ikawa, watu wote waliofika hapo, alipoanguka Asaheli na kufa, wakasimama.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 2

Mtazamo 2 Sam. 2:23 katika mazingira