2 Sam. 23:18 SUV

18 Tena, Abishai, nduguye Yoabu, mwana wa Seruya, alikuwa mkuu wa wale watatu. Huyo aliuinua mkuki wake juu ya watu mia tatu, akawaua, akawa na jina kati ya wale watatu.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 23

Mtazamo 2 Sam. 23:18 katika mazingira