Amo. 5:11 SUV

11 Basi, kwa kuwa mnamkanyaga maskini, na kumtoza ngano; ninyi mmejenga nyumba za mawe yaliyochongwa, lakini hamtakaa ndani yake; ninyi mmepanda mashamba mazuri ya mizabibu, lakini hamtakunywa divai yake.

Kusoma sura kamili Amo. 5

Mtazamo Amo. 5:11 katika mazingira