Amo. 5:12 SUV

12 Maana mimi najua jinsi maasi yenu yalivyo mengi, na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa; ninyi mnaowaonea wenye haki, mnaopokea rushwa, na kuwageuza wahitaji langoni wasipate haki yao.

Kusoma sura kamili Amo. 5

Mtazamo Amo. 5:12 katika mazingira