Amu. 6:28 SUV

28 Hata watu wa mji walipoondoka asubuhi na mapema, tazama, madhabahu ya Baali imebomolewa, na ile Ashera iliyokuwa karibu nayo imekatwa, na yule ng’ombe wa pili ametolewa sadaka juu ya ile madhabahu iliyojengwa.

Kusoma sura kamili Amu. 6

Mtazamo Amu. 6:28 katika mazingira