Amu. 7:5 SUV

5 Basi akawaleta watu chini majini. BWANA akamwambia Gideoni, Kila mtu atakayeyaramba maji kwa ulimi wake, kama vile arambavyo mbwa, huyo utamweka kando; kadhalika kila mtu apigaye magoti kunywa.

Kusoma sura kamili Amu. 7

Mtazamo Amu. 7:5 katika mazingira