Dan. 9:13 SUV

13 Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, mabaya haya yote yametupata lakini hata hivyo hatukumwomba BWANA, Mungu wetu, atupe fadhili zake, ili tugeuke na kuyaacha maovu yetu, na kuitambua kweli yake.

Kusoma sura kamili Dan. 9

Mtazamo Dan. 9:13 katika mazingira