Eze. 1:23 SUV

23 Na chini ya anga mabawa yao yamenyoshwa, moja kulielekea la pili; kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande mmoja, na kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande wa pili.

Kusoma sura kamili Eze. 1

Mtazamo Eze. 1:23 katika mazingira