Eze. 22:27 SUV

27 Wakuu wake kati yake wamekuwa kama mbwa-mwitu wakirarua mawindo; ili kumwaga damu, na kuharibu roho za watu, wapate faida kwa njia isiyo halali.

Kusoma sura kamili Eze. 22

Mtazamo Eze. 22:27 katika mazingira