15 Bwana MUNGU amwambia Tiro neno hili; Je! Visiwa havitatikisika kwa mshindo wa kuanguka kwako, watakapougua waliojeruhiwa, yatakapofanyika machinjo kati yako.
Kusoma sura kamili Eze. 26
Mtazamo Eze. 26:15 katika mazingira