Eze. 31:8 SUV

8 Mierezi ya bustani ya Mungu haikuweza kumficha; misunobari haikuwa kama vitanzu vyake, na miamori haikuwa kama matawi yake, wala bustanini mwa Mungu hamkuwa na mti wo wote uliofanana naye kwa uzuri.

Kusoma sura kamili Eze. 31

Mtazamo Eze. 31:8 katika mazingira