Eze. 32:7 SUV

7 Nami nitakapokuzimisha, nitazifunikiza mbingu, na kuzifanya nyota zake kuwa giza; nami nitalifunika jua kwa wingu, wala mwezi hautatoa nuru yake.

Kusoma sura kamili Eze. 32

Mtazamo Eze. 32:7 katika mazingira