Eze. 33:24 SUV

24 Mwanadamu, watu wale wakaao mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli husema ya kwamba, Ibrahimu alikuwa mmoja, akairithi nchi hii; lakini sisi tu watu wengi; tumepewa nchi hii iwe urithi wetu.

Kusoma sura kamili Eze. 33

Mtazamo Eze. 33:24 katika mazingira