Eze. 34:16 SUV

16 Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliofukuzwa, nitawafunga waliovunjika, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.

Kusoma sura kamili Eze. 34

Mtazamo Eze. 34:16 katika mazingira