Eze. 43:17 SUV

17 Na daraja, urefu wake dhiraa kumi na nne, na upana wake dhiraa kumi na nne, pande zake nne; na pambizo yake nusu dhiraa; na tako lake dhiraa moja, kote kote, na madaraja yake yataelekea upande wa mashariki.

Kusoma sura kamili Eze. 43

Mtazamo Eze. 43:17 katika mazingira