Eze. 45:19 SUV

19 Na kuhani atatwaa baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi, na kuitia juu ya miimo ya milango ya nyumba, na juu ya pembe nne za daraja ya madhabahu, na juu ya miimo ya lango la ua wa ndani.

Kusoma sura kamili Eze. 45

Mtazamo Eze. 45:19 katika mazingira