Eze. 5:15 SUV

15 Nayo itakuwa tukano na aibu, na mafundisho na ajabu, kwa mataifa wakuzungukao, hapo nitakapotekeleza hukumu ndani yako, kwa hasira, na kwa ghadhabu, na kwa malaumu ya ghadhabu; mimi, BWANA, nimeyanena hayo;

Kusoma sura kamili Eze. 5

Mtazamo Eze. 5:15 katika mazingira