Ezr. 1:5 SUV

5 Ndipo wakaondoka wakuu wa mbari za mababa, wa Yuda na Benyamini, na makuhani, na Walawi, naam, watu wote ambao Mungu amewaamsha roho zao kukwea, ili kuijenga nyumba ya BWANA, iliyoko Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Ezr. 1

Mtazamo Ezr. 1:5 katika mazingira