Ezr. 10:2 SUV

2 Hata Shekania, mwana wa Yehieli, mmoja wa wana wa Elamu, akajibu, akamwambia Ezra, Sisi tumemkosa Mungu wetu, nasi tumeoa wanawake wageni wa watu wa nchi hizi; lakini kungaliko tumaini kwa Israeli katika jambo hili.

Kusoma sura kamili Ezr. 10

Mtazamo Ezr. 10:2 katika mazingira