Ezr. 10:1 SUV

1 Basi hapo Ezra alipokuwa akiomba na kuungama, akilia, na kujiangusha kifudifudi mbele ya nyumba ya Mungu, wakamkusanyikia katika Israeli wote kusanyiko kubwa sana la wanaume, na wanawake, na watoto; maana watu hao walikuwa wakilia sana.

Kusoma sura kamili Ezr. 10

Mtazamo Ezr. 10:1 katika mazingira