Ezr. 2:68 SUV

68 Na baadhi ya wakuu wa mbari za baba zao, hapo walipoifikilia nyumba ya BWANA, iliyoko Yerusalemu, walitoa mali kwa ukarimu kwa ajili ya nyumba ya Mungu, ili kuisimamisha mahali pake;

Kusoma sura kamili Ezr. 2

Mtazamo Ezr. 2:68 katika mazingira